stwita JF-Expert Member Feb 14, 2011 1,340 758 Oct 1, 2015 #82 Maisha mafupi sana haya. Rest in peace
ISLETS JF-Expert Member Dec 29, 2012 8,121 5,332 Oct 1, 2015 #84 inahuzunisha sana.... pole kwa wafiwa.... na jf members wote.
MzungukoMnangani JF-Expert Member Jan 7, 2012 303 81 Oct 1, 2015 #85 Mkuu upumzike kwa amani Msamiati Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
dwoxye JF-Expert Member May 2, 2015 679 353 Oct 1, 2015 #87 R.I.P Mkuu Msamiati Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Tamatheo JF-Expert Member May 28, 2012 3,298 1,557 Oct 1, 2015 #89 RIP Msamiati na hongera kwa kutangulia japo tusingekupokea hicho kijiti.
B bantugarage JF-Expert Member Aug 14, 2015 273 47 Oct 1, 2015 #91 Muhimu zaidi ni kumshukuru MwenyeziMungu na kimuomba amsamehe makosa yake na sisi pia
James Hungury JF-Expert Member Jun 8, 2013 825 612 Oct 1, 2015 #94 kuna umuhm wa kufahamiana kisura na kijina kwa uhalisia,adm wa jf hebu shughulikia suala hli
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,157 Oct 1, 2015 #96 * inna LiLLaah wa inna iLayhi Rajioun* Poleni wafwa... na Marhm. Alazwe pema, Amin. Nini chanzo cha kifo chake??
* inna LiLLaah wa inna iLayhi Rajioun* Poleni wafwa... na Marhm. Alazwe pema, Amin. Nini chanzo cha kifo chake??
MarianaTrench JF-Expert Member Dec 29, 2014 1,213 941 Oct 1, 2015 #100 Mungu watie nguvu wanafamilia na nduguze wa karibu pamoja na familia ya Jf. Ni njia yetu sote tujiweke tayari wakati wote. Amen
Mungu watie nguvu wanafamilia na nduguze wa karibu pamoja na familia ya Jf. Ni njia yetu sote tujiweke tayari wakati wote. Amen