Mfatahela Kwesa
Member
- Apr 21, 2017
- 90
- 99
Laki sita vot na si elfu stin vot du nimeumia sana jamani kweli dunia tunapita
anhaa sawa mkuu..Mungu amrehemuMtanzania huyooo.sema kakulia congo.
Kifupi,Zuberi msabaha ni mwenyeji wa kigoma.Chanzo cha kwenda kuishi congo ni vita vya kagera mwaka 1979.Baada ya majigambo ya Nduli Dada kuwa ataifyeka Tanzania ndani ya masaa machache,familia yake waliamua kukimbilia congo kama wakimbizi happo Zuberi akiwa na umri wa miaka minne tu.anhaa sawa mkuu..Mungu amrehemu
anhaa asante kwa hii taarifa mkuuKifupi,Zuberi msabaha ni mwenyeji wa kigoma.Chanzo cha kwenda kuishi congo ni vita vya kagera mwaka 1979.Baada ya majigambo ya Nduli Dada kuwa ataifyeka Tanzania ndani ya masaa machache,familia yake waliamua kukimbilia congo kama wakimbizi happo Zuberi akiwa na umri wa miaka minne tu.
Hata baada ya vita ya kagera kuisha waliendelea kuishi huko,mpaka miaka ya tisini walipo amua kurudi home.
Congo kwaoCongo kwa nani? Kilio kipo Mabatini Mwanza! Atazikwa leo saa tisa alasili!
Bila shaka unaanisha Borry the Pilot. Alikuwa anamwaga ung'eng'e kama mtoto wa malkia.Mungu amlaze pema peponi jamaa....then kuna jamaa mmoja akitangaza Kiss Fm Radio miaka ya 2007/09 akijiita kitu kama Kim sikumbuki sana jina lake ila alikuwa anamwaga ung'eng'e balaa yaani alikuwa akiongea anafanya kama anaRap kipindi chake kikiitwa Dj show sijui jamaa naye yupo wapi?muda sana simsikia kwa anaefaham naomba anijulishe.
Mkuu,Congo kwa nani? Kilio kipo Mabatini Mwanza! Atazikwa leo saa tisa alasili!
R.I.P....Tonton Msabaha.View attachment 672376
Aliyekuwa mtangazaji wa Radio free afrika kipindi cha bolingo time, Mtangazaji Zuberi Msabaha afariki dunia.
Maziko yanatarajiwa kufanyika leo huko Mabatini, Mwanza. Mungu amuweke anapostaili mtaalamu huyo aliyekuwa na mvuto wake na uhodari wa kuendesha kipindi kupitia redio free Afrika.
View attachment 672372
dafity said;
Mtangazaji mahiri wa Sahara Media (RFA, KISS FM na STARTV) mtajwa hapo juu amefariki usiku wa kuamkia leo Jumatano January 10, 2018. Msiba upo Mabatini Mwanza.
Marehemu alikua mahiri katika kuzichambua nyimbo za Kilingala, KiCongo na Kikasai kutoka DRC na Congo-Brazaville.
Baadhi ya majina ya kazi aliyotumia ni 6000 volts na TonTon. Mazishi ni leo Jumatano saa 10 jioni hapa Mwanza
MkuuInnallilah wainailaih Rajiun.., Jamaa alikuwa anakitendea haki Kipindi chake!
MkuuInnallilah wainailaih Rajiun.., Jamaa alikuwa anakitendea haki Kipindi chake!
Sasa Mkuu huoni mtu anauliza Majibu kabisa?Sio kweli wacha kupotosha