Tanzia: Msanii wa vichekesho, Defender amefariki dunia

Tanzia: Msanii wa vichekesho, Defender amefariki dunia

Kaputula La Marx

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2015
Posts
562
Reaction score
500
Habari zilizotufikia hivi Punde zinadai kuwa Msanii wa Ucheshi ajulikanaye kwa Jina la Defender amefariki Dunia. Sababu ya Kifo chake bado Hatujakifahamu tunaendelea kufatilia na tutajuzana Hapa hapa Hivyo endelea kuwa nasi.
 

Attachments

  • 1427609588628.jpg
    1427609588628.jpg
    10.6 KB · Views: 3,027
Poleni wafiwa. Ila simfahamu kabisa huyu ndugu.
 
R.I.p defender alikuwa anaigiza kma amepatastrock navidole vyake anavikunja alafu ukimwambia kitu anasaau apoapo daaa
Na anaoneka kwenye nyimbo ya s .kide kabla hajatoka diamond
 
Acha nipite tu. Em ngoja kwanza poleni wafiwa mi namjua Majuto tu. Na wale mazombie ya tbc.
 
kaigiza amepooza naam amepooza milele sasa...RIP
 
Kuigiza maradhi mbaya sana, kuna aliigiza kama mrema ikiumwa sukari wa zecomedy mpka leo hajapata fahamu.

Hadi Kama ndio hiyo waigizaji wengi Sana wangekufa... Acha ujuha dogo
 
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina lake lihidimiwe milele
 
Back
Top Bottom