Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,841
- 38,736
#TANZIA:Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Said Mohamed Mtanda leo ametoa salamu za pole kwa familia ya Bw. Girimaru Sindano (36) mkazi wa Kijiji cha Iharara, Wilaya ya Serengeti aliyefariki baada ya Timu ya Yanga kufunga goli la tatu katika mchezo na Timu ya Simba tarehe 5 Novemba, 2023.
Taairfa hii ni kwa mujibu wa Taarifa iliyoandikwa katika ukurasa wa X.COM na Instagram ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara.
Taairfa hii ni kwa mujibu wa Taarifa iliyoandikwa katika ukurasa wa X.COM na Instagram ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara.