Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Bongo Kama mbele! Wasanii wengi kinyama!
Ndo nimemjua baada ya kufariki, R I P cute kama wanavyokuita.
Ndo nimemjua baada ya kufariki, R I P cute kama wanavyokuita.
Andika kwa Kiswahili..Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Nyerere na Mugabe.hivi marais huwa wanakufa kweli?
Hamkosekanagi nyieHamna kitu hapo hyo ni ngwengwe...now days zinakata ghafla sana
Lazima tuseme ukweli , ndo mambo ya Ephraim Kibonde et ana pressure aina yake peke yake, wagonjwa wa ngwengwe wanazima ghafla tuHamkosekanagi nyie
Hawa ni stand up commedy jukwaani onlyApumzike kwa amani. mie namjuaga Joti n
a wale akina Senga tu kumbe wachekeshaji ni wengi hivi!!
Huyu wapili Kuandika hivyo na kufa mwingine alikuwa Dada yake jollie rip mathakama alionyeshwa mwisho wake vile,,,rip
Aiseee hiyo chain si itakuwa balaa? Mbosso,Whozu-->TundaBosilediMimi siwez enda peponi mzeebaba..mim ni wajehanamu tu
Nilijua tuu kuna watu lazima wa quote comment ya Bibi FaizaAndika kwa Kiswahili..
Ngoma! ngoma! ngoma!
Mmenielewa!
Bado unaogopa ngwengwe mkuu?Aiseee hiyo chain si itakuwa balaa? Mbosso,Whozu-->TundaBosiledi
Mkuda upo mazeee.Hamkosekanagi nyie
Ngwengwe hatari mkuu daily unakunywa dawa si zinakuja kuharibu figo?Bado unaogopa ngwengwe mkuu?