Tanzia: Mchekeshaji Boss Martha afariki dunia

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,326
Msanii wa vichekesho toka Cheka Tu ajulikanae kwa jina la Boss Martha afariki dunia. Martha amefariki Asubuhi ya leo baada ya kuugua ghafla kwa kipindi kifupi. Inaelezwa kuwa alikuwa akiugua uti wa mgongo uliopelekea kupata homa kali.


Na itoshe kusema,,,Apumzike kwa Amani
 
Apumzike kwa amani. mie namjuaga Joti na wale akina Senga tu kumbe wachekeshaji ni wengi hivi!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…