Tanzia: Mama Hawa Ngulume afariki dunia!

Tanzia: Mama Hawa Ngulume afariki dunia!

Kwa Matendo Aliyowafanyia Wana Mbarali!! Duh Mungu wa Rehema Amsamehe!! Ila Tusiwafanyie Watu Mambo Mabaya kwani tukifa Vyote Tutaviacha!! R.I.P Kama muumba ataona inafaa!!
 
Alipokuwa Mkuu wa wilaya KAHAMA wakorofi walikipata au WALIKIPANDIKA alikuwa mama wa shoka hata huko Buly Mgodini walimjua sana
 
dah aalikuwa kiboko alippkuwa dc kndoni, hasa baada ya mgomo wa udsm na kutakiwa kusaini fomu pale kwake alikuwa hasikilizi mtu hata maelekezo toka kwa rc
 
Last year nakumbuka mama alikuwa amezidiwa, gazeti la mwananchi lilimfuata baada ya kupata taarifa kuwa anaumwa, after that news serikali ikampeleka india akapata matibabu na baada ya kama mwezi akarudi na kutoa shukrani kwa gazeti lile. R.i.p. Mama
 
Poleni sana wafiwa kazi ya Mungu haina makosa.
 
dah aalikuwa kiboko alippkuwa dc kndoni, hasa baada ya mgomo wa udsm na kutakiwa kusaini fomu pale kwake alikuwa hasikilizi mtu hata maelekezo toka kwa rc

Namkumbuka miaka ile ya 2000 loan forms alicomplicate na alikataa had barua ya RC Makamba na akasema yy anaripot kwa rais!!ilibid tukasign kwa Mdoe Ilala,Makamba alishindwa!!Inna illah wa inna lillah rajiun
 
RIP mama Ngulume, nakumbuka aliwahi kutembeza bakuli. Komba akipatwa na presha anapelekwa India mama mvaa combat pale kinondoni then Singida anatelekezwa.Endelea kuwa proffesional na jiunge na bima ya afya. Siasa si hasa.
 
pumzika mahala panapostahili....
Jina lako la mwisho hiyo herufi M ukiigeuza upside down tu basi mambo yanaharibika.
 
APEPE (Apumzike Pema Peponi) mama Hawa Ngulume!
 
Poleni wafiwa wote. Roho ya marehemu ipumzishwe mahali pema
 
Salaam wakuu,
Taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni mama Hawa Ngulume amefariki dunia muda mfupi uliopita.

Mama Hawa Ngulume alikuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.

Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.

Innalilah wa innalilah Rajuun.

Pumzika mama. Waache CCM na ufisadi wao. Tunakumbuka jinsi walivyokutelekeza wakati unaumwa utadhani hukuwahi kuwa mkuu wa wilaya hadi ukalalamika hadharani. Leo mungu amekuita na utashangaa CCM watakavyokuwa wakikulilia kwa chozi la mamba na kukupa sifa za kinafiki wakati walikuwa hawakujali wakati ukiwa hai. Na walaaniwe ccm, na unafiki na ufisadi wao. Pumzika mama! RIP mama.
 
Innalillah, wayna ilahy rajiun! Aliwahi kuwa DC wangu wilayani Kondoa. Namkumbuka mtoto wake Hassan. Pole kwa kufiwa na mama
 
Back
Top Bottom