dah aalikuwa kiboko alippkuwa dc kndoni, hasa baada ya mgomo wa udsm na kutakiwa kusaini fomu pale kwake alikuwa hasikilizi mtu hata maelekezo toka kwa rc
Salaam wakuu,
Taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Kinondoni mama Hawa Ngulume amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Mama Hawa Ngulume alikuwa akisumbuliwa na kansa kwa muda mrefu.
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina.
Innalilah wa innalilah Rajuun.