Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Mpango gani?!Morogoro tangia jumatatu iliyopita maCCM yanatumbuana kotekote. Oooh Moro nasikia jogoo hatawika kabla hujakamilisha mpango wako.
Kile kipande cha pale hakipo vizuri alafu kinadanganya sana kama gari ni mpya au liko vizuri unajisikia kukanyagia tuu na barabara haina level kuona mbele mbali kwa urefuWatu Wa Historia Naomb Kujua Maeneo Ya Morogoro Kuja Pwan Mbona Uwa Kuna Ajari Nyingi Tatizo Uwa Ni Nin?
Mkuu kwani RPC Mutafungwa kahamishiwa wapi?View attachment 1212907
Kiongozi huyo ndugu Joel Kafuge amepatwa na mauti mkoani Morogoro kutokana na ajali ya gari .
Taarifa hii imethibitishwa na RPC mpya wa Morogoro kamanda Hamisi Issa
Bwana alitoa na Bwana ametwaa , jina la Bwana lihimidiwe
=====
Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Ilala, Bw. Kafuge Joel amefariki dunia kwenye ajali ya gari iliyotokea leo mkoani Morogoro. RPC Morogoro Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Huyo Hamis Issa ni mtu wa kazi sana namfahamuView attachment 1212907
Kiongozi huyo ndugu Joel Kafuge amepatwa na mauti mkoani Morogoro kutokana na ajali ya gari .
Taarifa hii imethibitishwa na RPC mpya wa Morogoro kamanda Hamisi Issa
Bwana alitoa na Bwana ametwaa , jina la Bwana lihimidiwe
=====
Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Ilala, Bw. Kafuge Joel amefariki dunia kwenye ajali ya gari iliyotokea leo mkoani Morogoro. RPC Morogoro Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Hakika na kama kuna kiumbe anaona yeye ni haki yake awaonee viumbe wenzake basi anakosea sana maana hakuna anayeweza kuijua kesho yake.Sote ni wa kufa tutendeane uwema tu. RIP kada
Bila undani wa sababu ya ajali: Muhimu kila mtu azingatiesheria za barabarani. Wenye bendera hawafuati sheria za barabara