Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,774
HILI NI PIGO KWA TAIFA
Acha uchuro.
HILI NI PIGO KWA TAIFA
acha uzwazwa....dumila na mbeya wapi na wapi.Alikuwa anatokea Mbeya kuzika Jeneza hewa la Chadema bwana akamtwaa akiwa Moro. Sasa walau lile Jeneza limepata kitu cha kuweka ndani yake!
Watu Wa Historia Naomb Kujua Maeneo Ya Morogoro Kuja Pwan Mbona Uwa Kuna Ajari Nyingi Tatizo Uwa Ni Nin?
Nasikia kapigwa chini.
Kapelekwa DSM makao makuu kwenda kusoma magazeti
Hapana ni pigo Lumumba
Alikuwa Katibu wa CCM Ilala akahamishwa...View attachment 1212907
Kiongozi huyo ndugu Joel Kafuge amepatwa na mauti mkoani Morogoro kutokana na ajali ya gari .
Taarifa hii imethibitishwa na RPC mpya wa Morogoro kamanda Hamisi Issa
Bwana alitoa na Bwana ametwaa , jina la Bwana lihimidiwe
=====
Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Ilala, Bw. Kafuge Joel amefariki dunia kwenye ajali ya gari iliyotokea leo mkoani Morogoro. RPC Morogoro Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
acha uzwazwa....dumila na mbeya wapi na wapi.
Unaweza kutoka Dodoma ukaenda Iringa na ukaenda mbeyaacha uzwazwa....dumila na mbeya wapi na wapi.
Umefurahi?View attachment 1212907
Kiongozi huyo ndugu Joel Kafuge amepatwa na mauti mkoani Morogoro kutokana na ajali ya gari .
Taarifa hii imethibitishwa na RPC mpya wa Morogoro kamanda Hamisi Issa
Bwana alitoa na Bwana ametwaa , jina la Bwana lihimidiwe
=====
Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Ilala, Bw. Kafuge Joel amefariki dunia kwenye ajali ya gari iliyotokea leo mkoani Morogoro. RPC Morogoro Hamisi Issa amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
Kile kipande cha pale hakipo vizuri alafu kinadanganya sana kama gari ni mpya au liko vizuri unajisikia kukanyagia tuu na barabara haina level kuona mbele mbali kwa urefu
Taifa lipi? Basi tukio la lissu ni pigo kwa dunia nzimaHILI NI PIGO KWA TAIFA
Wako ambao wakifa nitafurahi lakini si mtu kama huyu asiye na madhara yoyote .Umefurahi?
Ni eneo ambalo idadi ya magari yanaoelekea upande mmoja na yanayotokea upande mwingine ni mengi. Mpishano wa magari ni mkubwa, probability ya kutokea ajari ni mkubwa pia.Watu Wa Historia Naomb Kujua Maeneo Ya Morogoro Kuja Pwan Mbona Uwa Kuna Ajari Nyingi Tatizo Uwa Ni Nin?