Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,628
Poleni sana, kumbe na nyie kuna wagojwa!?
Kama Alitenda Mema Duniani Raha Ya Milele Imwangazie Lakini Alitenda Mabaya Hukum Ya Milele Ijuu Yake
Alikuwa akishirikiana na Masabuli kuandaa wahuni waandamane kwenda makao makuu ya Chadema wakijifanya eti ni wafuasi wa Slaa.Huyu aende tu!! Alitaka kuzingua kwenye kukodi viwanja vya Jangwani!
Haya sasa,siombei wala sifurahii ila hili liwe funzo kwetu sote.
Kuna member humu wale wenzetu wa CCM kila siku kumkashifu Lowassa,wengine wanaenda mbali hadi wanamuita maiti....Astaghfirullah!
USIKOSOE,HUJAUMBA EWE MWANAADAM!
Haya sasa,siombei wala sifurahii ila hili liwe funzo kwetu sote.
Kuna member humu wale wenzetu wa CCM kila siku kumkashifu Lowassa,wengine wanaenda mbali hadi wanamuita maiti....Astaghfirullah!
USIKOSOE,HUJAUMBA EWE MWANAADAM!
Huyu aende tu!! Alitaka kuzingua kwenye kukodi viwanja vya Jangwani!
Poleni sana, kumbe na nyie kuna wagojwa!?
naona unakuwa wa kwanza kuhukum makosa ya mwenzako na unaunga mkono na kufurahia kifo chake.
Weka sherehe bas ww na familia yako maana aliyetaka kuwakatalia uwanja ndio hayupo tena na hutamwona wala kumsikia tena na wala hutopata pingamiz la uwanja tena.
Furahi na kushangilia kwasababu ww utaishi milele juu ya hii dunia.
Huyu jamaa alimtukana Lowasa akisema ikulu hakuna bajeti yamazishi. Duh. RIP katibu
TENA NI HUYU ALIYESEMA LOWASA MGONJWA,IKULU HAWANA BAJETI YA MAZISHI,tangulia salama wewe ambaye hukuwa mgonjwa