Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,041
- 134,315
Katibu wa CCM Ilala Bwn. Ernest Chale amefariki Dunia jana usiku kutokana na maradhi.Katibu huyo alifariki jana saa5 usiku alipokuwa amelazwa kwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili...
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!