TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,041
Reaction score
134,315
Katibu wa CCM Ilala Bwn. Ernest Chale amefariki Dunia jana usiku kutokana na maradhi.Katibu huyo alifariki jana saa5 usiku alipokuwa amelazwa kwa matibabu katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili...

Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!
 
Poleni mliofikwa na msiba huo
 
Mbona taarifa ya kifo chake nimeona tangu jana jioni au ni watu wawili na walisema gafla
 
Raha ya milele mpe bwana,na mwanga wa milele umwangazie,apumzike kwa amani,Amina
 
One bright morning when man life is over man will fly away from home to Zion. RIP brother
 
Nawapa pole sana wanafamilia wake kwani wameondokewa na mtu muhimu sana na kiongozi wa familia. Pia sinabudi kuwapa pole wanachama wote wa ccm ktk kipindi hki kigumu wameondokewa na nguzo muhim ya kiutendaji. Polen sana. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi.
 
Back
Top Bottom