TANZIA: Kapteni Keenan Mhaiki, amefariki dunia

RIP Capt Mhaiki,pilot mzoefu sana huyo mzee!Mungu amlaze mahali pema peponi.
Huyu ni legendary kweli kweliii....Ndio siku ya miaka 50 ya Muungano alikuwa anaichezeachezea ile Gulfstream ya Rais hewani.

Amerithisha kazi hii mwanae mmoja anaitwa Mathew Mhaiki,ni rubani wa ndege za kampuni ya Coastal Travel.Sema dogo anaijua ndege sana,kama kazaliwa nayo;Tatizo ni mitungi...Kama alizaliwa kwenye vinu vya TBL

Pumzika kwa amani Bambo Mhaiki...Utakumbukwa daima
 
R.I.P mbele yako nyuma yetu. Hakika mavumbini tutarejea, pumzika kwa amani, taifa litakukumbuka kwa mchango wako.
 
Jana nilikua Aga Khan, Waziri mkuu Majaliwa akawa kaenda kumjulia hali pale.... duh Kumbe baada ya muda mfupi mgonjwa akafariki..

apumzike kwa amani
 
image.jpeg

Interesting rubani wa marais wetu wote watano na ameacha watoto wawili na wadogo zake wapo nje. Aisee itabidi nikaze buti
Mwanae mmoja ni rubani,anarusha ndege za kampuni ya Coastal Aviation.
Like father,like son.Dogo anajua sana ndge kama kazaliwa nayo;Mwaka jana wakati wa kutafuta wadhamini mikoani,Benard Membe ndio alimkodi huyu dogo azunguke nae mikoa yote kusaka wadhamini.

Miaka 50 ya Muungano,Rubani Mhaiki ndio alikuwa anaipigisha ile ndege ya Rais Gulfstream kwa manjonjo.
Upumzike kwa amani Bambo...Umeondoka na ujuzi wako.
 
Duuh huyu mkuu alikua mvivu kufyatua watoto yaani watoto wawili tu daah, mbona faru john cena alikua na watoto 26
Mungu ampe pumziko la milele amen
 
Huyu ni legendary kweli kweliii....Ndio siku ya miaka 50 ya Muungano alikuwa anaichezeachezea ile Gulfstream ya Rais hewani.

Amerithisha kazi hii mwanae mmoja anaitwa Mathew Mhaiki,ni rubani wa ndege za kampuni ya Coastal Travel.Sema dogo anaijua ndege sana,kama kazaliwa nayo;Tatizo ni mitungi...Kama alizaliwa kwenye vinu vya TBL

Pumzika kwa amani Bambo Mhaiki...Utakumbukwa daima


RIP mzee Mhaiki, pole kwa familia ya marehemu.

Huyo mdogo wake Mathew anaitwa Donald (sina uhakika) nae kilauli kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Ila suala la ndege naona lipo kwenye damu maana huyu mdogo Donald alipokuwa shule tayari alikuwa akichezea "Simulator", na alikuwa akikesha nayo masaa hadi 12!
 
Back
Top Bottom