TANZIA: Kada wa CHADEMA bi. Mwacheni Kinongo afariki dunia

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Mar 27, 2011
8,086
13,990
Chadema tawi la mwendo mdundo v/60 ifakara tunasikitika kutangaza kifo cha mwanachama mwenzetu bi Mwacheni Kinongo, au mama komba kilichotokea juzi tarehe 01.10.2013. Tunazika leo saa tisa. Marehemu alikuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa kata. Pia alikuwa mwamasishaji kwenye mikutano ya chama. MUNGU alitoa mungu ametwaa jina la bwana libarikiwe.
 
Poleni sana. Ndo njia yetu sote hiyo, japo kuna mijitu huwa inaona kuwa haitaondoka.
 
Chadema tawi la mwendo v/60 ifakara tunasikitika kutangaza kifo cha mwanachama mwenzetu bi Mwacheni Kinongo, au mama komba kilichotokea juzi tarehe 01.10.2013. Tunazika leo saa tisa. Marehemu alikuwa mjumbe wa mkutano mkuu wa kata. Pia alikuwa mwamasishaji kwenye mikutano ya chama. MUNGU alitoa mungu ametwaa jina la bwana libarikiwe.
tuko kwenye msiba mkubwa MACHAME
 
Poleni sn viongozi pamoja na wanachama kwa kupata msiba huu.
 
Msiba mkubwa ndo upi?na mdogo ni upi?

Mkuu usihangaike na hiki kikundi cha watu ambao wako mentally disorder we mwache abaki kukejeli kwani kila mtu litamfika hili.Any way poleni sana wafiwa tuko pamoja kiroho apumzike kwa amani!
 
hata mjumbe wa kata mnaleta hapa,wachaga kwa kutangaza misiba kama redio ya mengi.kamanda hafi kizembe huyo feki
 
Ndio tumetoka mochwari hapa st Francis hospital...Ibada itaanza muda mfupi ujao, namwona diwani wangu Peter Lijualikali na mjumbe wa kanda bwana Methew Likwina...dah!
 
hata mjumbe wa kata mnaleta hapa,wachaga kwa kutangaza misiba kama redio ya mengi.kamanda hafi kizembe huyo feki

Muda ukifika utaondoka tu.....hata uwe amri jeshi mkuu!!!!Ya kaisari na apewe kaisari
 
hata mjumbe wa kata mnaleta hapa,wachaga kwa kutangaza misiba kama redio ya mengi.kamanda hafi kizembe huyo feki
Ndio maana mama yako alikutelekeza mtaani ukawa chokoporaa mshenzi mkubwa!
 
Back
Top Bottom