TANZIA: Jaji Mwaipopo afariki ajalini

TANZIA: Jaji Mwaipopo afariki ajalini

EA-HG

Member
Joined
Feb 25, 2013
Posts
12
Reaction score
1
Jaji mstaafu Ernest Mwaipopo afariki kwa dunia kwa ajali ya gari Morogoro.

source ITV Breaking news saa 11.30
 
jaji mstaafu Ernest Mwaipopo afariki kwa dunia kwa ajali ya gari Morogoro.
source ITV Breaking news saa 11.30

Apumzike kwa amani, tusipokemea ujinga wa watawala huko tuendako ikiletwa taarifa kama hii watu wataanza kuuliza alikuwa dini gani?
 
Ni jioni hii mkoani morogoro akiwa anatokea Iringa kuja Dar.
Ni mjumbe wa Kamati ya Katiba.

Kama hili limetokea kweli basi hatuna cha kufanya zaidi ya kumuombea makazi mema.kuzaliwa kwa katiba mpya kutakuwa ni kumbukumbu ya kuwepo kwake nasi. Amina.
 
..poleni wafiwa na watanzania wote kwa ujumla...
 
Mungu ailaze roho yake mahali panapomfaa, vipi mleta uzi, nini sababu ya kifo chake ugonjwa? Ajali au??
 
Mungu ailaze roho yake mahali panapomfaa, vipi mleta uzi, nini sababu ya kifo chake ugonjwa? Ajali au??

Sasa na wewe unauliza nini hicho tena?

Yaani mleta habari kaandika kwenye kichwa cha habari wewe bado unauliza sababu ya kifo chake? Ina maana heading yote wewe hukuisoma ulipoona tu afariki ukakimbilia kwenye keyboard?!! Watu wengine bwana!!!!
 
Sasa na wewe unauliza nini hicho tena?

Yaani mleta habari kaandika kwenye kichwa cha habari wewe bado unauliza sababu ya kifo chake? Ina maana heading yote wewe hukuisoma ulipoona tu afariki ukakimbilia kwenye keyboard?!! Watu wengine bwana!!!!

Watu weusi sisi hatupendi kusoma, ndio tabia yetu
 
Poleni sana wafiwa kwa msiba mzito.
 
rip....jaji mteuliwa wa jk. any way ateteuwa mwingine.....
 
Poleni sana familia ya Mwaipopo. Hizi ajali TZ mpaka lini?
 
Bajeti ya wajumbe wa katiba ilikuwa kubwa sana kupungua kwa kichwa kimoja malipoyake yaongeze madawati kule monduli RIP
 
Mkuu JOB K, habari ya kwanza ilikuwa ya mkuu Amiliki ambayo haikuwa na chanzo cha kifo chake now ndio MOds wameiweka sawa, sijakurupuka kama unavyodhani.. UWE NA AMANI.
By Amiliki 17;35
Ni jioni hii mkoani morogoro akiwa anatokea Iringa kuja Dar.
Ni mjumbe wa Kamati ya Katiba.

TAARIFA RASMI
user-online.png
EA-HG

Today 17:34
#1
Junior MemberArray


Join Date : 24th February 2013
Posts : 5
Rep Power : 307
Likes Received0
Likes Given0


[h=2]
icon1.png
TANZIA;jaji mstaafu afariki dunia[/h]
jaji mstaafu Ernest Mwaipopo afariki kwa dunia kwa ajali ya gari Morogoro.
source ITV Breaking news saa 11.30​


  • , ZICHEKI ZIMEPISHANA DAKIKA MOJA TU










Sasa na wewe unauliza nini hicho tena?

Yaani mleta habari kaandika kwenye kichwa cha habari wewe bado unauliza sababu ya kifo chake? Ina maana heading yote wewe hukuisoma ulipoona tu afariki ukakimbilia kwenye keyboard?!! Watu wengine bwana!!!!
 
Back
Top Bottom