TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

Kwa wale mliosoma Mwalimu Nyerere Memorial Academy pamoja na SAUT-Mwanza!

Kijana mcheshi na mkweli ambaye alikua muajiriwa wa Azam Tv amefariki dunia usiku wa kuamkia jana! Na msiba uko Kiluvya, ataagwa kesho katika Ibada ya Kanisa Katoliki parokia ya Kiluvya (Kwa Komba) kuanzia saa tatu asubuhi kisha kuzikwa mkoani Morogoro!

Wengine wanamfahamu kama Victor Merry! Pumzika kwa amani bro!

attachment.php
Leo Maajabu Kumbe Na Wewe Huwa Unaanzisha UZI Humu? Haya Maajabu Ya Kufunga Mwaka. MJEDA Hapa Ulijitutumua Kweli Hadi Kuipata Hii Taarifa Na Kuja Kuiweka Humu.
 
Aisee!!! Kwa hiyo hilola Ismail lilikuwa la kupatia kazi au kufanyia kazi!?
R.I.P Victor

Wazazi dini mbili tofauti! Victor-Mary ni upande wa Mama yake Marehemu "Mary" ndio maana akaitwa Victor Hamza Kimungu kwahiyo alikua na uhuru wa kutumia jina lolote either la upande wa mama au baba! kwa baba ni Ismail! umenisoma?
 
Back
Top Bottom