TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

Inalilah, nakuhurumia na mungu akupe kauli thabit. Dunia ni pahali pa kupita na hadaa. Pole ISMAIL HAMZA
 
Kwa wale mliosoma Mwalimu Nyerere Memorial Academy pamoja na SAUT-Mwanza!
Kijana mcheshi na mkweli ambaye alikua muajiriwa wa Azam Tv amefariki dunia usiku wa kuamkia jana! Na msiba uko Kiluvya, ataagwa kesho katika Ibada ya Kanisa Katoliki parokia ya Kiluvya (Kwa Komba) kuanzia saa tatu asubuhi kisha kuzikwa mkoani Morogoro!
Kijana mdogo na tegemeo la taifa tene aliyejikita kwenye fani yake tayari, inasikitisha. R.I.P Ismail.
Kwenye red hapo nimeangali jina na utaratibu wa kuaga nikawa sijaelewa, mwenye mwanga kidogo atuangazie.

 
Kijana mdogo na tegemeo la taifa tene aliyejikita kwenye fani yake tayari, inasikitisha. R.I.P Ismail.
Kwenye red hapo nimeangali jina na utaratibu wa kuaga nikawa sijaelewa, mwenye mwanga kidogo atuangazie.


Ni mkristu kwa jina la Victor!
 
RIP bro,siku ya kwanza tulikutana Debe, tukawa washikaji.
Tukapoteana kitambo,
 
hv hajasoma forodhani secondary maana nna mfananisha,r.i.p bro
 
kwani alikuwa anasumbuliwa na nini huyo mkuu maana hata wengine hatumjui
Usemacho ni kweli! Nimekua nikifanya nae kazi kila siku katika maeneo mbali mbali..Nitamkumbuka! Nina miss ucheshi na utani wake! Mungu amuongoze Mkewe na familia!

Pumzika kwa amani Baba Neon!
 
R.I.P School mate Meta Complex Mbeya mungu akuangazie mwanga wa milele
 
hv hajasoma forodhani secondary maana nna mfananisha,r.i.p bro

Alisoma Forodhani kisha Meta Mbeya..tumemzika Jana nje kidogo ya Mji wa Morogoro pembezoni na kaburi la mama yake kama ambavyo alitaka! Makaburi ya Bigwa!
 
Too late,too soon?
No Way out,RIP bro.
 
Back
Top Bottom