TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

TANZIA: Ismail H. Kimungu afariki dunia

Super Handsome

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
3,844
Reaction score
6,468
Kwa wale mliosoma Mwalimu Nyerere Memorial Academy pamoja na SAUT-Mwanza!

Kijana mcheshi na mkweli ambaye alikua muajiriwa wa Azam Tv amefariki dunia usiku wa kuamkia jana! Na msiba uko Kiluvya, ataagwa kesho katika Ibada ya Kanisa Katoliki parokia ya Kiluvya (Kwa Komba) kuanzia saa tatu asubuhi kisha kuzikwa mkoani Morogoro!

Wengine wanamfahamu kama Victor Merry! Pumzika kwa amani bro!

attachment.php
 

Attachments

  • our omondi.jpg
    our omondi.jpg
    46.6 KB · Views: 4,187
Gone too soon. R.I.P wafiwa
 
Nilibahatika kufanya nae kazi mwezi August mwaka huu akiwakilisha Azam tv ......alikuwa bado kijana mdogo lakini mwenye bidii ukimuona hata mara moja unaweza kugundua haraka kwa jinsi anavyojituma .....pole kwa mke wake, mtoto wake, familia na jamaa zake wote .... R.I.P Ismail ....
 
Nilibahatika kufanya nae kazi mwezi August mwaka huu akiwakilisha Azam tv ......alikuwa bado kijana mdogo lakini mwenye bidii ukimuona hata mara moja unaweza kugundua haraka kwa jinsi anavyojituma .....pole kwa mke wake, mtoto wake, familia na jamaa zake wote .... R.I.P Ismail ....

Usemacho ni kweli! Nimekua nikifanya nae kazi kila siku katika maeneo mbali mbali..Nitamkumbuka! Nina miss ucheshi na utani wake! Mungu amuongoze Mkewe na familia!

Pumzika kwa amani Baba Neon!
 
Back
Top Bottom