britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,644
- 30,007
Kaka yake Mheshimiwa Freeman Mbowe Afariki huko Sala Sala (R.I.P General Mbowe)
=====
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Mhe.Freeman Mbowe amefiwa na Kaka yake General Mbowe leo mchana. Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Salasala. Bwana ametoa na Bwana ametwaa,Jina lake lihimidiwe.
=====
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Mhe.Freeman Mbowe amefiwa na Kaka yake General Mbowe leo mchana. Msiba upo nyumbani kwa Marehemu Salasala. Bwana ametoa na Bwana ametwaa,Jina lake lihimidiwe.