TANZIA: Diwani wa Moshi Bar Mombasa afariki dunia!!

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,348
5,977
Kwa wenyeji wa Ukonga na maeneo ya jirani wanamfahamu huyu jamaa(JALUO PUB).

Ni yule jamaa wa Kituo cha "Kwa Diwani" kule Moshi Bar Mombasa ambaye aliwahi kuwa diwani kipindi cha nyuma.
Kuna jumba kubwa la kigae na Bar ilikua imeandikwa JALUO PUB kipindi cha nyuma. Nnamfahamu kwa jina moja Kaseno.

Ana wadogo zake wanafanana nae sana mpaka sauti na mara chache amewahi kuwania uwakirishi bungeni lakini akadunda.

Huyu bwana amefariki leo jioni!!!
R. I. P mh diwani mstaafu!!!!!

Wadau nimepata jina lake, ni ndg Johannes Osanga Kaseno ambaye pia aliwahi kuwa naibu meya wa ilala 2008 - 2010.
 
Alikuwa ananifurahisha akifika kwenye bar yake anasalimia wateja wooooote aliowakuta. Yani anapita meza hadi meza.
Sijui nini kimemuondoa jamani. Nimesikitika sana kusema kweli.

Mkuu yule msela alikuwa anaumwa,sijui ngwengwe ile

Na hicho ndo kilichomfanya ashindwe uchaguzi
Kampeni hakufanya kwa sababu ya ugonjwa.
 
Mkuu yule msela alikuwa anaumwa,sijui ngwengwe ile

Na hicho ndo kilichomfanya ashindwe uchaguzi
Kampeni hakufanya kwa sababu ya ugonjwa.
Ahaa hapo sawa, hata hivyo ni muda mrefu umepita toka sijasikia habari zake. Alikuwa diwani wangu enzi hizooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom