King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,891
- 95,192
Apepe kamanda
Diwani wa Chadema kata ya Nyasura wilaya ya Bunda ndugu Zamberi Mwisarya Ngobayi amefariki dunia jana tarehe 28.10.2013 ktk hosp ya Bugando Mwanza kwa ugonjwa wa moyo. Bwana ametwaa!
Sema diwani wa nyasura kupitia chadema amefariki bana. Alichaguliwa na wananchi na akathibitishwa. Mbona jk haitwi rais wa ccm? Kiswahili kigumu eeeh! BTW r.i.p kamanda.
Mungu amlipe anachostahili kwa kuisaliti Ccm na kujiunga na chama cha wabaguzi, waroho wa madaraka, mafisadi, wadini, wakabila, wakanda, wauwaji.
Mungu amlipe anachostahili kwa kuisaliti Ccm na kujiunga na chama cha wabaguzi, waroho wa madaraka, mafisadi, wadini, wakabila, wakanda, wauwaji.
JK ni rais wa ccm, nec na tiss!