Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,080
- 13,957
Diwani wa CCM kata ya Ifakara ndg Ramadhani Kiombile, ambaye alikuwa pia mwenyekiti wa halmashauri amefariki dunia leo katika hospitali Muhimbili. Chanzo changu kutoka ndani ya halmashauri kimenithibitishia habari hizi. R I P Diwani.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
Pumzika kwa amani.
Dunia inafujo nyingi na masumbufu, marehemu ni shahidi wa hilo, maana kwenye mbio za udiwani aliona mengi!
Wadau, nawaomba tusianze kuongelea mambo ya nafasi ya udiwani, maana tayari wengine wakisikiaga vifo vya wenzao udenda unawatoka!
Tuongelee kuhusu kumpumzisha mwenzetu.
Kuna tatizo gani?Bwana alitoa na Bwana ametwaa.
Pumzika kwa amani.
Dunia inafujo nyingi na masumbufu, marehemu ni shahidi wa hilo, maana kwenye mbio za udiwani aliona mengi!
Wadau, nawaomba tusianze kuongelea mambo ya nafasi ya udiwani, maana tayari wengine wakisikiaga vifo vya wenzao udenda unawatoka!
Tuongelee kuhusu kumpumzisha mwenzetu.