Abdull Kazi
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 344
- 306
Diwani wa kata ya Nanga wilaya ya Igunga, Ramoti Mapalala amefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Noah,
Taarifa za kuaminika zilizomfikia mkuu wa wilaya ya Igunga Elibariki Kingu kutoka kwa Ocd wa Igunga Maige zinaeleza kuwa diwani huyo akiwa na piki piki yake aliingia barabarani ghafla akiwa anatoka Nanga kuelekea barabara kuu ya Igunga Nzega pasipo kuchukua tahadhari na kwa bahati mbaya gari hilo likamgonga na kufariki papo hapo
Kwa sasa askari wa jeshi la Polisi wanashughulikia utaratibu wa kuuondoa mwili barabarani
Taarifa za kuaminika zilizomfikia mkuu wa wilaya ya Igunga Elibariki Kingu kutoka kwa Ocd wa Igunga Maige zinaeleza kuwa diwani huyo akiwa na piki piki yake aliingia barabarani ghafla akiwa anatoka Nanga kuelekea barabara kuu ya Igunga Nzega pasipo kuchukua tahadhari na kwa bahati mbaya gari hilo likamgonga na kufariki papo hapo
Kwa sasa askari wa jeshi la Polisi wanashughulikia utaratibu wa kuuondoa mwili barabarani