TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

TANZIA: Bi. Asha B. Makame afariki dunia

Huyo mama alikuwa sahihi kwa 100% kuwa serikali ya mapinduzi haiwezi ondolewa madarakani kwa makaratasi labda kwa mapinduzi, na aliwapa challenge kuwa wapindue, na mimi nasema wapindue ili waingie madarakani.
kupindua ili waingie chama kingine? it is not worth it
 
kupindua ili waingie chama kingine? it is not worth it
Kama fomula ya mapinduzi ni kupindua ili uingie chama kingine basi wanastahili kufanya hivyo. Ila kwa kuwa lengo ni mapinduzi basi wanataliwa wapindue na washike dola.
 
Tuna dolla sisi .tuna dola sisiii .kama mnataka muuwe binadamu ili na nyinyi mtawale.
Kwa hilo no .waendelee tu kuwa na dolla milele
 

Maalim Seif aifariji familia ya Marehemu Asha Bakari Makame

a1.JPG

a2.JPG

a4.JPG

Zaidi Link ZanziNews : Maalim Seif aifariji familia ya Marehemu Asha Bakari Makame
 
Hivi Mheshimiwa kama Samwel Sitta anajisikiaje anapokumbuka kwamba ndiye aliendesha kama Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Bunge lililojaa ubaguzi wa kila aina, matusi ya aibu hadi ajisikia vibaya hii clip ya Bi Asha Makame, nimejisikia vibaya sana!
_MG_9837.JPG
 
View attachment 318027

Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Zanzibar, Asha Bakari Makame amefariki dunia leo huko Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu.


Mbali na wadhifa huo, mwanasiasa huyo ameshawahi kuwa mwakilishi katika Baraza la Wawakilishi Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) na aliwahi kuwa mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba.

View attachment 318124

Bofya link kwa picha za mzigo ulioshushwa na Qatar airways. ZanziNews : Mwili wa Marehemu Asha Bakari Wawasili Zanzibar kwa Mazishi Kesho Saa nne Jangombe

_MG_9837.JPG

_MG_9880.JPG

_MG_9891.JPG


 
Huyo mama alikuwa sahihi kwa 100% kuwa serikali ya mapinduzi haiwezi ondolewa madarakani kwa makaratasi labda kwa mapinduzi, na aliwapa challenge kuwa wapindue, na mimi nasema wapindue ili waingie madarakani.
If so,why you spend billions and precious time for useless election?
 
If so,why you spend billions and precious time for useless election?

Uliza utaratibu wa mapinduzi upoje, get me right in Uganda, Rwanda, Egypt, Iraq, Libya etc nchi ya mapinduzi haitolewi kwa karatasi
 
Uliza utaratibu wa mapinduzi upoje, get me right in Uganda, Rwanda, Egypt, Iraq, Libya etc nchi ya mapinduzi haitolewi kwa karatasi
Umeishiwa, subiri kupiga kura.
Kura ya nini tena kwenye Nchi ya kimapinduzi? Nchi ya kimapinduzi haitolewi kwa vikaratasi lakini watu wasubiri kupiga kura?
Unataka Dr. Shein yamkute yaliyomkuta Gaddafi? Unajua yaliyomkuta Gaddafi? Unayajua yaliyomkuta Saddam wa Iraq?
M%2BW%2B4.jpg

MW%2B2.jpg


Link ZanziNews : Makamu wea Rais Mhe. Samia Suluhu Ashiriki Dua ya Kuuombea Mwili wa Marehemu Makamu Mwenyekiti wa UWT Asha Bakari Makame.
 
Mama ana matusi huyu...!Naona mwisho wa usiku ameufyata milele...Sitosahau alivyomdhalilisha Jussa. Poleni wafiwa
 
Back
Top Bottom