Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,602
- 22,707
P.K.A mpiganaji wa Serikali mbili.
Msikieni hapa akitetea na kushangiliwa na CCM yetu:
Mzee Tupatupa
VUTA-NKUVUTE hebu eleza kidogo kuhusu utata huu, kwamba wewe ni mwanachama wa chama pendwa lakini muda mwingi hauko pamoja nao kimawazo na kimtazamo. Hii imekaaje?
Msikieni hapa akitetea na kushangiliwa na CCM yetu:
Mzee Tupatupa
unamanisha ukiwa mbishi inabidi wakukumbushe majina kama Horace Kolimba, Imran Kombe, nk siyo?Mkuu, CCM haina tabia ya kusema kweli. Ukisema kweli unasemwa kuwa ni mpinzani. Nadhani umenielewa
Mzee Tupatupa