TANZIA: Aliyewahi kuwa Meya wa Jiji la Dar, Kleist Abdulwahid Sykes amefariki dunia

Pole kwa watanzania wenzagu wote kwa msiba huu mzito. Salamu za rambirambi kwa familia na ndg wa Mar. Mzee Sykes. Mwenye Mungu Awatie nguvu na Awafariji katika kipindi hiki cha maombolezo.

Amina
 
Mohamed Said November 22, 2017 0


Kleist Abdulwahid Sykes
(1950 - 2017)

Ratiba ya Mazishi

Alhamis 23/11/2017
Msiba nyumbani Kawe Beach karibu na Mediterraneo Hotel
Saa 5 asubuhi mwili kuwasili nyumbani
Saa 7 mchana adhuhur kusaliwa jeneza (maiti) hapo nyumbani
Saa 8:30 Jeneza kuelekea Masjid Maamur Upanga
Baada ya sala ya alasiri na kusalia jeneza itaelekea Makaburi ya Kisutu
 
RIP Kleist Sykes,
Sorry, hili la Mohamed Said kuleta Wasifu wa Marehemu unakua kama unamuamuru, unamuomba au unapendekeza??
Ndugu zangu,
Huu ni msiba mkubwa kwangu.

In Shaa Allah nitajaribu kukumbuka yale niyajuayo kuhusu Kleist
na nitakuwekeeni hapa.

Kleist katika sifa zake moja niliyoshuhudia katika uzima wake ni ukarimu.

Mkono wake siku zote ulikuwa wazi akiunyoosha kwa anayemuomba na
anaehisi ni muhitaji.

Allah amsamehe madhambi yake ndugu yetu na amuweke mahali pema
peponi.
 
Ulale pema peponi mzee Kleist Sykes. Umeimaliza safari yako, sisi tuliobaki tutapita njia hiyo hiyo.

Naikumbuka sana ile hadithi uliyotupa pale kwenye maghorofa ya jirani na ocean road mwaka 2001 tukiwa kwenye kusanyiko la watu walioishi mitaa ile ya gymkhana mpaka ikulu, hadithi iliyohusiana na wakati wa masomo yako nchini Canada.

Ukaenda kwenye msiba wa wazungu ukiwa umeshazoea misiba ya kitanzania ya mtu kujiendea tu halafu ghafla mwanafunzi mwenzako akakuita chemba akakuambia kuwa alikupa tu taarifa ya yeye kufiwa ila hakukwambia kuwa unahitajika pale makaburini!!.

RIP Mzee Sykes.
Ndugu zanguni,
Kuna makala imewekwa hapa huyo ni babu yake Kleist Abdulwahid Sykes
aliyefariki leo.

Mtafute babu yake Kleist hapo katika maelezo ya picha:

DSCN1159.JPG
 
Poleni sana wana familia. Huwezi kuongelea uhuru wa Tanganyika bila hii familia. Hata BRT ni mpango ambao marehemu aliusimamia kwa ufanisi kwenye "planning stage"wakati akiwa meya wa DSM.
 
Kleist Sykes (1894–1949) was a Tanganyikan political activist. He helped form the Tanganyika African Association.

Sykes was born in Pangani to father Sykes Mbuwane, a Zulu mercenary hired by the German Empire, and a Nyaturu mother. After his father died, Sykes moved with his godfather, Effendi Plantan, to Dar Es Salaam, and would later fight for the Germans in the First World War.[1]

After the war, Sykes worked for the Tanganyika Railway. He met Dr. James Aggrey, a Ghanaian teacher, who inspired Sykes to form the Tanganyika African Association (AA) in 1929, along with friends including Mzee bin Sudi, Cecil Matola, Suleiman Mjisu and Raikes Kusi. In the 1930s, AA members built the organization's headquarters at New Street, where the Tanganyika African National Union would later be created in 1954.[1]

Sykes was the first African to join the Tanganyika Chamber of Commerce, and the second African to serve in colonial Dar es Salaam's Municipal Council.[1]

Sykes had three sons, Abulwahid, Ally, and Abbas, who would also have prominent careers in Tanzania.
Nimeona neno moja muhimu hapo. Ni Jina la kabila la mama!

MNYATURU.

Get well Tundu Lissu.

RIP mnyampaa Sykes
 
Back
Top Bottom