Yote tisa ...kumi leteni mwili wa Marehemu haraka tumzike na mengine yatafuata baadae.Hata tumpambe vipi au tumkashifu vipi hakuna atakae enda naye kaburini.Muhimu ni kumuombea msamaha kwa Mungu......Huko ndugu zangu iko kazi ...hakuna hii RIP.Tunatakiwa tujitayarishe tukiwa bado tuko hai....rejeeni maandiko yote matakatifu.