Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,682
- 3,065
Mchezaji wa zamani wa Simba SC, na timu ya taifa ya Tanzania #TaifaStars Abbas Dilunga amefariki ghafla usiku wa kuamkia leo, nyumbani kwake, Chanika, Dar es Salaam.
Maziko ya gwiji huyo ambaye ndiye baba mzazi wa mchezaji wa Ruvu Shooting, Said Dilunga, yanafanyika leo saa 10 jioni Kisarawe mkoani Pwani.
Akitoa taarifa ya msiba huo kwa niaba ya familia, Afisa Habari wa Ruvu Shooting Masau Bwire amesema marehemu ameacha wajane wanne na watoto 13.
Inna lillah wa inna ilayh rajiu'n.
Maziko ya gwiji huyo ambaye ndiye baba mzazi wa mchezaji wa Ruvu Shooting, Said Dilunga, yanafanyika leo saa 10 jioni Kisarawe mkoani Pwani.
Akitoa taarifa ya msiba huo kwa niaba ya familia, Afisa Habari wa Ruvu Shooting Masau Bwire amesema marehemu ameacha wajane wanne na watoto 13.
Inna lillah wa inna ilayh rajiu'n.