Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
mmewatangazia watu chadema imeshinda shy na tena tbc wanatangaza ccm imepita kwa kura moja.. Msituchezee kabisa.
Ivi kweli kuna mtu mwenye akili timamu asiyejua kuwa NEC wanafanya hila kubadilisha matokeo?
Ivi kweli unaweza kusema huu ulikuwa uchaguzi huru na kweli Tanzania?
NEC wametia aibu Tanzania
CCM wametia aibu
Na watanzania mtatia aibu kama kweli mtakubali haya matokeo!
hatuwezi kusubiri siku 5 za kuhesabu kura mil 19!
Ukimya wa CHADEMA nao unanipa mashaka! Come out, speak out! Mbona mnakubali unyanyasaji na inefficiencies za ajabu? Hamjui kuwa nyie ndo sauti ya wananchi? Mnawezaje kuwa People's Power huku mnawasaliti wananchi na ukimya wenu?
Wito kwa WaTz...Tusikubali matokeo yoyote yenye utata! Uchaguzi ni haki yetu kwenye katiba. Na imedhihirika kuwa NEC wanataka kusaliti hii haki! TUSIKUBALI.
Mzee kila mtu anayaona yanayotokea, na kukurupuka kuongea unaweza ukapoteza mengi. Hapa chama kinaoperate chini chini na kinafanikiwa. Hakuna mambo yatakayoaribika. Chama kina mfumo mzuri wa kushughulikia maswala yake hasa ya uchaguzi, chama kilijipanga na kilijua haya yote yatatokea. Sasa mkubwa usiwe na hofu mambo yataenda shwari, tuliposhinda patatangazwa tumeshinda. Naomba tuwe wavumilivu, CHADEMA si chama tu bali ni taasisi(institution).
ivi kweli kuna mtu mwenye akili timamu asiyejua kuwa nec wanafanya hila kubadilisha matokeo?
Ivi kweli unaweza kusema huu ulikuwa uchaguzi huru na kweli tanzania?
Nec wametia aibu tanzania
ccm wametia aibu
na watanzania mtatia aibu kama kweli mtakubali haya matokeo!
Hatuwezi kusubiri siku 5 za kuhesabu kura mil 19!
Ukimya wa chadema nao unanipa mashaka! Come out, speak out! Mbona mnakubali unyanyasaji na inefficiencies za ajabu? Hamjui kuwa nyie ndo sauti ya wananchi? Mnawezaje kuwa people's power huku mnawasaliti wananchi na ukimya wenu?
Wito kwa watz...tusikubali matokeo yoyote yenye utata! Uchaguzi ni haki yetu kwenye katiba. Na imedhihirika kuwa nec wanataka kusaliti hii haki! Tusikubali.
hatukurupuki hovyo, sisi chadema tunajua njama ambazo nec inafanya km kada wa ccm pale itv rainfred masako anavyozuia matokeo yasitangazwe eti sio rasmi.