Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 76
Kuna Jamaa mmoja anaitwa Shariff aliwahi kuwa balozi kama sikosei UK na halafu akawa Waziri mdogo wa mambo ya nje awamu ya tatu.
Unamzungumzia Dk. Abdukadeer Shariff aliyekuwa Naibu Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa. Huyu bwana aliposhindwa kura za maoni za kugombea Ubunge, aliamua kuachana na siasa, hivyo akasema anataka sasa kupumzika kwa kazi za kuongoza jamii.
mi nadhani hii idea ni nzuri lakini tatizo lazima tuwe na vigezo vinginevyo watu kama SHIGOGO, WEMA SEPETU,LIYUMBA NA WENGINEO WASIKUWA NA MILENGO INAYOELEWEKA NAO WATAINGIA KWA SABABU NAO NI MAARUFU KWENYE MAMBO YAO
I agree with you kwamba hoja ni nzuri lakini nadhani mleta mada hakufanya utafiti wa kutosha wa kuweza kujua ni vigezo gani vitakavyoongoza hoja. Huu ni mfano wa shoddy work, ninamshauri mtoa mada afikirie vigezo vitavyoweza kuifanya hoja yake iweze kuwa hai.
mi nadhani hii idea ni nzuri lakini tatizo lazima tuwe na vigezo vinginevyo watu kama SHIGOGO, WEMA SEPETU,LIYUMBA NA WENGINEO WASIKUWA NA MILENGO INAYOELEWEKA NAO WATAINGIA KWA SABABU NAO NI MAARUFU KWENYE MAMBO YAO
Sawa kabisa Mfumwa, Kama kuna watu wanastahili kupewa ubunge wa kuteuliwa basi huyu bwana alistahili maana utendaji wake ulikuwa ni mzuri mno. I wish we had more dedicated leaders like him.
Haya si maajabu mengine! Mtu aliyekuwa na utendaji mzuri mno anakosa kura za maoni!
Huu ni mtazamo wako maana nimefafanua vizuri kabisa na kutoa mifano kama ya akina Michael Jordan, Oprah Winfrey na Magic Johnson. Mtu ambaye anaweza kuwa influential kwenye jamii yoyote anaweza kuwa anatoka katika nyanja yoyote ile katika jamii lakini katika umaarufu wake alioupata katika nyanja hiyo anaweza kabisa kuutumia umaarufu huo katika nyanja nyingine na nikatoa mfano wa Oprah pamoja na kuwa siyo mwanasiasa alikuwa wa mwanzo mwanzo kabisa katika kumsupport Obama pamoja na kuwa hajawai kufanya hivyo huko miaka ya nyuma. Watu walioelewa, wanachangia majina ya watu wanaodhani wanastahili kuwemo kwenye list hiyo, wewe unayeiona hoja hii haina uhai kaa pembeni tuachie sisi tuendelee nayo.
100+ Most Influential Black Americans | Ebony | Find Articles at BNET
Ok, kama tunatakiwa kuwataja walio hai tu then,
YESU
Kila kona yupo, kila sehemu anatajwa.....
Pamoja na maelezo yako mazuri lakini hayajabadilisha hoja yangu. Ninachokushauri ni kuwa hoja yako ni mfu na ninasema sio kwa nia mbaya, la hasha hoja ni nzuri lakini haina vigezo vinavyoiweka hoja hai.
- Msiwasahau wakulu wa Ze-Utamu, na wazee wa JF Kumkoma nyani, au?.
Wazee wa sauti ya umeme FMES!
Na mimi nimekwambia wengine wanaiona siyo mfu na wameweka majina mbali mbali. Wewe unayoiona ni mfu tafuta thread nyingine yenye uhai. Kwani umelazimishwa kurudi kwenye thread ambayo ni mfu!? 😕
Samahani mkuu,
Nilichokuwa ninafanya ni kukosoa kwa maana ya kuleta changamoto ya kuboresha mada, kama hukosoleki mzee, pole kwa kukukwaza.
Ujumbe wa leo
"If you believe you are born with all the smarts and
gifts you'll ever have, you tend to approach life with a
fixed mind-set. However, those who believe that their
abilities can expand over time live with a growth
mind-set-and they're much more innovative."
- Dr. Marshall Goldsmith