SK2018
Senior Member
- Jan 6, 2018
- 104
- 55
Huwa mnanishangaza sana mnavosema sie waKenya hatukijui Kiswahi. Kati ya waTz niliokutana nao, kutofautisha dh na z ni shida. Kuzitofautisha l na r ni shida. Hivi ni lini mtajua kuwa ni dhana na sio zana. Lini mtajua ni bahili na kuwa sio bahiri. Wasenzi nyie mnaoendeleza huu ujinga.
Halafu, mnatarajia nchi yenu itakua vipi kimichezo wakati wachezaji 9 wa Simba wanatokea nchi za kigeni? Wachezaji wamechoka kama Meddie Kagere na Francis Kahata ndio mnataka kuwafanya temegemeo kwa timu zenu. Mpo timamu kweli? Mpira wa Tanzania na wa Uingereza hauna tofauti. Zote zinaishia kwa magazeti, mastaa wa ligi zenu ni raia wa kigeni. Sisi waKenya tunajua Tz kwa mpira hamtuwezi, kwa riadha hamtuwezi, ndondi/masumbwi hamtuwezi, voliboli hamna anayetuweza Afrika mzima, rugby/raga Afrika mzima anayetuweza ni South Africa pekee, riadha hamna anayetuweza Afrika mzima.
Halafu, mnatarajia nchi yenu itakua vipi kimichezo wakati wachezaji 9 wa Simba wanatokea nchi za kigeni? Wachezaji wamechoka kama Meddie Kagere na Francis Kahata ndio mnataka kuwafanya temegemeo kwa timu zenu. Mpo timamu kweli? Mpira wa Tanzania na wa Uingereza hauna tofauti. Zote zinaishia kwa magazeti, mastaa wa ligi zenu ni raia wa kigeni. Sisi waKenya tunajua Tz kwa mpira hamtuwezi, kwa riadha hamtuwezi, ndondi/masumbwi hamtuwezi, voliboli hamna anayetuweza Afrika mzima, rugby/raga Afrika mzima anayetuweza ni South Africa pekee, riadha hamna anayetuweza Afrika mzima.