Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Dec 7, 2016 #3 hapo wabongo tuige nin kipya sasa maana sioni lolote lipya ambalo wabongo hawajalifanya?
Kanye2016 JF-Expert Member Jun 4, 2016 2,474 2,445 Dec 7, 2016 #4 Hata mimi sioni jipya, maana kama ni Entrepreneur hata sisi tunao tena wanatengeneza mpka helkopta
RRONDO JF-Expert Member Jan 3, 2010 51,764 107,976 Dec 7, 2016 #6 Perry said: hapo wabongo tuige nin kipya sasa maana sioni lolote lipya ambalo wabongo hawajalifanya? Click to expand... Anawafundisha ujasiri. Kuacha ajira nzuri Microsoft ili kutimiza ndoto zako. Wabongo wachache sana wanaweza kama wapo anyway!
Perry said: hapo wabongo tuige nin kipya sasa maana sioni lolote lipya ambalo wabongo hawajalifanya? Click to expand... Anawafundisha ujasiri. Kuacha ajira nzuri Microsoft ili kutimiza ndoto zako. Wabongo wachache sana wanaweza kama wapo anyway!
DiasporaUSA JF-Expert Member Aug 27, 2016 23,291 29,485 Dec 7, 2016 Thread starter #7 RRONDO said: Anawafundisha ujasiri. Kuacha ajira nzuri Microsoft ili kutimiza ndoto zako. Wabongo wachache sana wanaweza kama wapo anyway! Click to expand... Heri yako wewe uliyelitambua hilo
RRONDO said: Anawafundisha ujasiri. Kuacha ajira nzuri Microsoft ili kutimiza ndoto zako. Wabongo wachache sana wanaweza kama wapo anyway! Click to expand... Heri yako wewe uliyelitambua hilo