Hayo mengine muachie yeye ata-judge kama akifika, kaomba contact.
Hii stereotyping abt India itatumaliza! Tunavyokashifu utadhani hata robo tunawafikia! Wapo mbali wenzetu sasa hivi maendeleo ni kwa kasi haijawahi tokea, wanakimbizana na China!
Tutawasema wee ila sio level yetu jamani