Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,227
- 2,197
Hizi ndio kazi wanazofanya watoto wetu wa vijijini kipindi hiki cha kufungwa shule kutokana na gonjwa la Corona.
Nikajiuliza moyoni, je wanapata muda wa kujifunza masomo kupitia elimu mtandao inayorushwa kwenye TV mbalimbali? Vipi kama mtukufu angepiga lock down kwa familia zetu hizi tungemaliza hata siku 3 kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikajiuliza moyoni, je wanapata muda wa kujifunza masomo kupitia elimu mtandao inayorushwa kwenye TV mbalimbali? Vipi kama mtukufu angepiga lock down kwa familia zetu hizi tungemaliza hata siku 3 kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app