epigenetics
JF-Expert Member
- May 25, 2008
- 269
- 80
Hivi Tanzania kuna 'child prodigies' (watoto/vijana wenye upeo mkubwa kiakili usiolingana na umri wao) ambao wameweza kuwika katika anga mbali mbali ukubwani?
Je, kuna program zozote zilizopo nchini zinazo 'aim' kutunza vipaji vya watoto kama hao?
mf....
Terence Tao
[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Terence_Tao[/ame]
Huyu kijana sasa ni Professa wa Hisabati pale UCLA. Dogo alijifundisha hesabu akiwa na umri wa miaka 2, na alianza kuchukua kozi za Hisabati za level ya chuo kikuu akiwa na umri wa miaka 9.
Una stori za watu kama hawa uliowahi kusoma nao?
Je, kuna program zozote zilizopo nchini zinazo 'aim' kutunza vipaji vya watoto kama hao?
mf....
Terence Tao
[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Terence_Tao[/ame]
Huyu kijana sasa ni Professa wa Hisabati pale UCLA. Dogo alijifundisha hesabu akiwa na umri wa miaka 2, na alianza kuchukua kozi za Hisabati za level ya chuo kikuu akiwa na umri wa miaka 9.
Una stori za watu kama hawa uliowahi kusoma nao?