Majamba Jr
Member
- Apr 3, 2012
- 41
- 12
Watu wawili wamepoteza maisha kwa mshituko wa kupata taarifa za kifo cha Kanumba.Mmoja yupo hospital kapoteza fahamu. So Kanumba kauwa wengi kuliko LuLu.
Gone too soon, R.I.P Kanumba,
je sisi tuliobaki twajifunza nini kwa maisha na kifo chake?
Mvua za watu kama huyu "chief of protocal" mtaziona sana tu this time, mana toka majuzi, huwezi soma uzi wowote hadi u-log in, which means uwe registered na matokeo yake ndo haya!
R.I.P Kanumba ila umetuachia funzo kuwa wazazi ni MUNGU wa pili duniani ...LULU sasa kwako yametimia ni zamu ya dunia kukufunza walimwengu tulishatimiza wajibu wetu lakini hukutusikia
COP yuko quite right anawakumbusha na wengine musifanye makosa ya kudharau wazazi wenu. Mtu mwenye akili timamu huwezi kuropoka yale maneno kwenye vyombo vya habari dhidi ya baba yako. Never
aaah ! Yale yale ya Serengeti boys ! Alipokuwa kaole trup alikuwa na umri gani ? (almos 12yrs back) pana ukweli hapa !?It is so sad kijana alikuwa only 28,RIP my boy.
Watu wawili wamepoteza maisha kwa mshituko wa kupata taarifa za kifo cha Kanumba.Mmoja yupo hospital kapoteza fahamu. So Kanumba kauwa wengi kuliko LuLu.
R.I.P Kanumba ila umetuachia funzo kuwa wazazi ni MUNGU wa pili duniani ...LULU sasa kwako yametimia ni zamu ya dunia kukufunza walimwengu tulishatimiza wajibu wetu lakini hukutusikia
Heading yako mkuu haijakaa sawa,