Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 240
Wakati mmoja ninafurahi na wakati fulani nachukia sana. Katika nchi hii yenye neema na baraka za baba wa mbingi unapoona watoto yatima wanateseka na kutumika kama vitega uchumi inasikitisha sana na tena sana na wala si kidogo