Tanzania yetu na fani ya Software Engineering

Tanzania yetu na fani ya Software Engineering

Watu wengi hapa mnafikiria vikwazo na kujustify kwamba mambo hayawezekani.Ila from my experience opportunity zipo nyingi tuu bongo and as a freelance software developer nimefanya application nyingi tuu ambazo zinatumika kwenye serious business na mimi inshallah mambo yanaenda.so dont ever ever giveup

Zaidi ya hivyo watu wanafikiria return in terms on Hard money na cash tu . Kuna project zina weza kuwa na faida kwa jamii na service kwa jamii bil kuwa nan direct cash retuns .

na uzuiri opporunity zilizopo wala haziitaji mtu kudelevelop new software tottaly/ Ni just kungeza madoido kwenye application zilizopo.
Eg
  • adding and or proving Ksswahili grammer and systax check in Ms word and r open office
  • Having Kiswahili pack kwenye Available CMS
Kuna simple though not 100% software developmet project tulijaribu kuanizisha na wana jf kuwa na Online contact directory lakini ikashindikina. Hii faida zake sio za pesa lakini jamii ingefaidika..... failure kubwa ni weakness upande wetu sisi wataalam including ma self teh teh teh

Lakii bado inakuwa kazi kundelea kwenye hii field sababu institution kubwa zinazotakiwa kuwa wateja na kuonyesha njia zimeduma na ni za serikali. Mfano BBC na CCN wakati zinaanza walikuwa wanatumia Windows Media player na hta youtube kupresnt official video content message. Baadaye nadhani utaona BBC na mashirika makubw yana custom Media player zao.

Sasa kwa Tanzania TBC ITV Star Tv, etc hata kutumia youtube au media player ambazo ni za bure bado ni kasheshe. So taaasisi kubwa na infact ni za serikali zinazotak iwa kuonyesha njia n kuwa wateja either haziko so open au Hazina vision sahihi. LAkini hizi tasisi zina graduate n watu tumesoma nao na wengine walikuwa smart wenye matokeo kutuzidi. So Pia na elimu yetu nadhani inatundaa zaidi kwa white collar job yaani kuwa users sio doers.........

Hata ukiwa so called software engneer kwa bongo much of resposibility utakazopata kwenye taasis nyingi sio fully sofware enginnering task.

Nilikuwa nasoma article hii y boss wa google aliyopresenet jinsi internet invyotransform Television. Sasa sijui kama Kuna Director yeyote pale TBC ana jua hili . Japo ujumbe ulikuwa ni kwa UK nadhani ni jumbe unweza kuwa applicabale wa nchi nyingi.

Google chairman Eric Schmidt has said education in Britain is holding back the country's chances of success in the digital media economy.

He made his comments at the MacTaggart Lecture at the Edinburgh International Television Festival.

Dr Schmidt said the UK needed to reignite children's passion for science, engineering and maths. And he announced a partnership with the UK's National Film and TV School, to help train young online film-makers. Dr Schmidt told the audience of broadcasters and producers that Britain had invented many items but were no longer the world's leading exponents in these fields.

Endelea kusoma chapisho hili hapa BBC News - Google's Eric Schmidt criticises education in the UK
 
Watu wengi hapa mnafikiria vikwazo na kujustify kwamba mambo hayawezekani.Ila from my experience opportunity zipo nyingi tuu bongo and as a freelance software developer nimefanya application nyingi tuu ambazo zinatumika kwenye serious business na mimi inshallah mambo yanaenda.so dont ever ever giveup
Naomba ndugu "PakavuNateleza" utupe mifano, hata kama ni descriptive info tu ya solutions ambazo umefanikisha ili wenzio waweze kujua nini kinahitajika in the software development arena. Najua kazi zingine labda zina clauses ya confidentiality. lakini descriptive info bado unaweza kutoa.
 
+1
mifano itasaidia sana hata kama haitakuwa detailed!
 
Just kuuliza,
hivi tuna kampuni ngapi za kitanzania mabazo ni exemplary katika field hii? May be toka hapo tunaweza jua changamoto zinazokumbana nazo.
 
Came across this tool www.mendix.com and wanted to share with you guys.
If you familiar with PaaS (Platform as a service) and Cloud computing, this might nudge you to start thinking of learning to develop web applications in these platforms.

Some introductory videos can be found on youtube
Advanced Domain Model.mp4 - YouTube
While I am here, best also throw in another of this development environments for good measure:- Out-System Sistemas Empresarios This particular one has a community edition which will be ideal for no limit development for small apps, mendix has a 30 day license, but from the forum, think they are looking at opening it up for community license for learning purposes.
 
inawezekanaje mtu akaanzisha kampuni itakayokuja kuwa tishio kama M$ au kama iEverything au google?
Kampuni kuwa tishio has nothing to do with a better product.., bali ni marketing ya nguvu, promotion na kuwa at the right place at the right time, na mtu aliyeshapata loyal customers ni vigumu kwa newbie kuwachukua hao customers..., lakini its possible.. Yahoo was once great before google ingawa adwords, adsense na diversity ya google imekuja kasi.., Microsoft sio kwamba alikuja na products out of the box bali aliweza kuzichukua na kuziweka kwenye mainstream, na baada ya wengi kumzoea there was no chance kumuhama hata kama kuna better products.., ebay is one of the biggest ingawa alibaba amekuja juu kutokana na big suppliers base, Amazon sababu ya diversification, experience na kujulikana ni vigumu kwa kampuni nyingine inayofanya everything as Amazon kumpiku..

What am trying to say product is not everything (unless its unique, hata ikiwa unique watu wataiga in no time..) bali promotion na marketing na timing are as much as important...

na ukizingatia this is a global village now its all about thinking global na kutengeneza kitu kinachoweza kuwa utilised globally na sio locally.., the world is your oyster, na technology as it is things can change today which might put even those biggies (google ms n.k.) out of business.., ndio maana hata hao hawalali wanaumiza vichwa what to do next (na wewe ukigundua leo kitu unique unless unaki-patent soon) fahamu kwamba kuna uwezekano wa kuibiwa na the big boys
 
Back
Top Bottom