Tanzania yaumbuka leo Marekani

Tanzania yaumbuka leo Marekani

kula kwa tindo

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
1,330
Reaction score
324
Habari wana GT.. Leo Ktk jiji la Washington Marekani, kunafanyika uzinduzi wa Filamu iitwayo The Boy from Geita.
Inazungumzia mauaji na vitendo vya ukatwaji viungo vya Albino,
Serikali imeshaanza kulalamika juu ya filam hiyo, Kwani inaonyesha Ni kwa jinsi gani Serikali haiko seriously ktk kudhibiti vitendo na Unyama huo...

Chanzo DW..
 
Habari wana GT.. Leo Ktk jiji la Washington Marekani, kunafanyika uzinduzi wa Filamu iitwayo The Boy from Geita.
Inazungumzia mauaji na vitendo vya ukatwaji viungo vya Albino,
Serikali imeshaanza kulalamika juu ya filam hiyo, Kwani inaonyesha Ni kwa jinsi gani Serikali haiko seriously ktk kudhibiti vitendo na Unyama huo...

Chanzo DW..

Serikali haipaswi kulalamika ,haya mambo wameyalea wenyewe acha wavuliwe nguo.........
 
Uzuri ni kuwa mwenye macho haambiwi eti tazama. Waingereza walishasema siku nyingi Tanzania haina serikali. Hata ukitaka chochote wewe nenda chukua wala hakuna mtu atakayekuuliza swali. Ngoja watuuze wapate pesa kesho tukiamka sisi na bakuli tunaenda tena bila aibu kuwaomba hapo za kununulia neti za kuzuiya za mbu.
 
Hujakaa sawa utasikia atakayechunga kura yake serikali itamchukulia hatua za kisheria. Utafikiri kuna serikali.
 
Halafu huko geita ndio anatoka yule mgombea
 
Aibu ya huyu jamaa anaefunga virago, ametupotezea miaka kumi ya maendeleo
 
Habari wana GT.. Leo Ktk jiji la Washington Marekani, kunafanyika uzinduzi wa Filamu iitwayo The Boy from Geita.
Inazungumzia mauaji na vitendo vya ukatwaji viungo vya Albino,
Serikali imeshaanza kulalamika juu ya filam hiyo, Kwani inaonyesha Ni kwa jinsi gani Serikali haiko seriously ktk kudhibiti vitendo na Unyama huo...

Chanzo DW..

viongozi wa CCM ndio wamekuwa wakiwaua albino kwa ajili ya kusaka madaraka, sasa wanaona aibu. ndio maana hawapendi kuona hiyo filamu kwa kuwa inawaumbua.
 
Habari wana GT.. Leo Ktk jiji la Washington Marekani, kunafanyika uzinduzi wa Filamu iitwayo The Boy from Geita.
Inazungumzia mauaji na vitendo vya ukatwaji viungo vya Albino,
Serikali imeshaanza kulalamika juu ya filam hiyo, Kwani inaonyesha Ni kwa jinsi gani Serikali haiko seriously ktk kudhibiti vitendo na Unyama huo...

Chanzo DW..
Ilitakiwa Serikali iwapongeze waandaaji wa filamu hiyo.
 
Viungo vya Albino ni mtaji wa CCM.

Ikiwa haujafaham kinachoongelewa kaa kimya au uliza ufahamishwe mtoa mada amezungumzia Tz (Serikali) na c chama acha kukurupuka na siasa kali umekosa kazi za kufanya? Maana humu mmejaa mambulula hatari!
 
Back
Top Bottom