Timu ya Bongo FC ya Finland jana iliweza kuingia fainali ya kombe la Prevention ilipoweza kuifunga Guinea kwa mabao 2-1. Sasa Bongo FC itakutana na Nigeria katika fainali itakayochezwa siku ya Jumamosi katika jiji la Helsinki.
Katika mzunguko wa kwanza wa makundi Bongo FC iliweza kuifunga Nigeria kwa mabao 3-2. Wachezaji wa Bongo FC wamenukuliwa wakisema kuwa wana uhakika wa kuifunga tena timu ya Nigeria.
Mmoja wa washabiki wa Bongo FC akifurahia ushindi
Wachezaji wa Bongo FC wakipasha misuli moto kabla ya mpambano
Wadau wa Bongo FC wakitafakali ushindi dhidi ya Guinea na kupanga mikakati ya mpambano wa Fainali...
Hii ni mada ya sports. Punguza ghadhabu Mheshimiwa. Be social.ni nchi ya baba yako? nyie mnataka muachwe peke yenu ili muendeleze ugaidi na dini yenu ya kigaidi hiyo....lol
ni nchi ya baba yako? nyie mnataka muachwe peke yenu ili muendeleze ugaidi na dini yenu ya kigaidi hiyo....lol
ni nchi ya baba yako? nyie mnataka muachwe peke yenu ili muendeleze ugaidi na dini yenu ya kigaidi hiyo....lol
Moja ya kash kash za bongo FC langoni mwa Nigeria.....
Wakenya walijitokeza pia kutoa shavu kwa Bongo FC....
Bro huyo mchezaji mmoja ni mzungu au ni Albino na kama ni mzungu ni Mtanzania mwenzetu?
Kati ya wachezaji 4 wa Bongo FC, 1 picha inatoa ugumu wa utaifa wake. Lkn wapinzani 6 picha inatoa maelezo yasio na maulizo sana. Kulikoni? au mambo ya mamluki?
Shukrani, Jezi za Bongoland zilikuwa ni toleo la mwanzo wakati timu inaanzishwa, sina hakika kama bado zipo, ila nitawasiliana na utalawa, then nitakutaarifuWell done Kibz and co. Hizo jezi za "Bongoland" nitazipataje mkuu?