Tanzania yapigilia msumari ushoga

Tanzania yapigilia msumari ushoga

albuluushiy

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
1,404
Reaction score
687
Serikali ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015 mpaka 2030 katika mkutano wa Umoja wa Mataifa.

Akizungumza jijini Dar es Salaam waziri wa mambo ya nje na mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe.Bernard Membe amesema serikali ya Tanzania imekataa kutambua ushoga kama moja ya agenda za maendeleo.

Hongera Membe huu ndio msimamo tunaoutaka.
 
Labda !! Nasikia akiondoka rais JK. "Mcha Mungu" Tanzania itaruhusu !!
atuepushe mbali....
 
Serikali ya Tanzania imekataa rasmi kutambua ndoa za jinsia moja (ushoga) kama moja ya agenda za maendeleo katika malengo ya milenia 2015 mpaka 2030 katika mkutano wa Umoja wa Mataifa. Akizungumza jijini Dar es Salaam waziri wa mambo ya nje na mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mhe.Bernard Membe amesema serikali ya Tanzania imekataa kutambua ushoga kama moja ya agenda za maendeleo.
Hongera Membe huu ndio msimamo tunaoutaka

Kumbe jina la mgombea uraisi kupita ccm limeshapitishwa. ngoja tusubiri ukawa sijui watampitisha nani.
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangiri wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?

Sikumbuki babu fafanua
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangiri wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?

hebu tujuze mkuu .
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangiri wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?
Mkuu 8pippo !! Duuh aliwekwa kwenye kona finyu, hebu nitonye !! jibu lake ?
 
Hoja ilikuwa nzuri lakini ndani yake umeweka na mambo ya ajabu kama mtoto vile.
 
Nilidhani imepigilia msumari umaskini uliyo tanda nchi nzima. Clear instance of misplaced priorities. What consenting adults do in privacy of their bedroom is not a public agenda.
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangiri wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?

= ujangili
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangiri wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?
kaka hebu tukumbushe japo kwa mstari mmoja pls watu8 a.k.a 8-people
 
Last edited by a moderator:
Mkuu 8pippo !! Duuh aliwekwa kwenye kona finyu, hebu nitonye !! jibu lake ?

Nimekuwekea majibu ya JK hapo chini na ukiyasoma vizuri utagundua kuwa JK hakuonesha kukemea bali alibaki na msimamo neutral.

Kama utakumbuka wakati huu ndio kipindi kile kulikuwa na vuguvugu la sheria kali ya ushoga hapo kwa majirani zetu Uganda na rais wao alikuwa na msimamo bayana kabisa.

Jibu la JK limekaa kulikimbia swali kuu na kutoa jibu pana lisilozingatia msimamo wake binafsi.

Gay rights in Tanzania
Another topic dominating headlines is that of gay rights on the African continent.

In Tanzania homosexuality is illegal, punishable with long prison sentences. When asked whether it’s time to stop criminalising people who are in consensual relationships.

President Kikwete told Amanpour it will “take time for our people to accept the norms that the west is accepting”.

And when pressed on whether he wants to see that happen, he told Amanpour “I cannot say that now”.
 
= ujangili

Shukrani FF, neno hilo huwa lanipa wakati mgumu kujua ni herufi 'r' au 'l' ndiyo sahihi...

Miye sitaandika umebug meeen kama weye ufanyavyo ukiteleza....hahah!!!
 
Nimekuwekea majibu ya JK hapo chini na ukiyasoma vizuri utagundua kuwa JK hakuonesha kukemea bali alibaki na msimamo neutral.

Kama utakumbuka wakati huu ndio kipindi kile kulikuwa na vuguvugu la sheria kali ya ushoga hapo kwa majirani zetu Uganda na rais wao alikuwa na msimamo bayana kabisa.

Jibu la JK limekaa kulikimbia swali kuu na kutoa jibu pana lisilozingatia msimamo wake binafsi.

Gay rights in Tanzania
Another topic dominating headlines is that of gay rights on the African continent.

In Tanzania homosexuality is illegal, punishable with long prison sentences. When asked whether it’s time to stop criminalising people who are in consensual relationships.

President Kikwete told Amanpour it will “take time for our people to accept the norms that the west is accepting”.

And when pressed on whether he wants to see that happen, he told Amanpour “I cannot say that now”.

Hana ujasiri huyu jamaaa..Museven alisem yey hawaruhusu ushoga Mugabe akaua zaidi, akasema kama akimuoa Obama kwanza wataruhusu, huyu anajilamba lips tu
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangili wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?

Huyo hayupo makini,ange msikia asinge sumbua vidole vyake kuandika.
 
Ulishawahi kufuatilia mahojiano ya Kikwete na CNN wakati ule akihojiwa kuhusu ujangili wa meno ya ndovu?

Unakumbuka jibu alilotoa alipoulizwa kuhusu habari za ushoga?

Hawezi kujua mkuu wanakurupukaga halafu ni vijana wa Membe wanaendeleza kazi zao za kila siku kama za wale vijana wa Lowasa. Rais alishindwa kuonesha msimamo wake kuhusu ushoga (rais dhaifu)

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
i said it and im saying,ushoga Tanzania upo na umekubaliwa kiaina.Ila hii nchi hata ndoa za waume na wake kwasasa ni adimu,za mashoga ndo zitakua na haraka?Kina rio paul,ally remtula,paco decor,bilal mashauzi mbona wanajiposti na mabwana zao live and nobody says a thing?Halafu baa moja almaarufu znz inajulikana ni mashoga ila ndio viongozi woote hawapumui bila kwenda hapo...wahalalisheje tena wandugu?
 
Back
Top Bottom