124 Ali
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 7,812
- 5,522
ha!ha!ha! karibuni Zenji kwa Raju kupiga "papuchi pori"i said it and im saying,ushoga Tanzania upo na umekubaliwa kiaina.Ila hii nchi hata ndoa za waume na wake kwasasa ni adimu,za mashoga ndo zitakua na haraka?Kina rio paul,ally remtula,paco decor,bilal mashauzi mbona wanajiposti na mabwana zao live and nobody says a thing?Halafu baa moja almaarufu znz inajulikana ni mashoga ila ndio viongozi woote hawapumui bila kwenda hapo...wahalalisheje tena wandugu?