Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 10,773
- 18,650
Akizungumza katika mkutano wa 18 wa TFF rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania Wallace Karia amesema wamepatiwa mfumo wa VAR Toka CAF ambao utafungwa uwanja wa Benjamin Mkapa.
Pia ameongeza kuwa wanatarajia kufunga mfumo wa VAR katika uwanja wa Amani.
Pia ameongeza kuwa wanatarajia kufunga mfumo wa VAR katika uwanja wa Amani.