Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,079
Wana-JF,
Nimeangalia Al-jazeera kipindi kifupi kilichopita. Nchi yetu imepaa tena kwa taarifa za kuzuia uhuru wa vyombo vya habari. Safari hii ni habari za kuvibana vyombo vya nje ya Tanzania:
Nimeangalia Al-jazeera kipindi kifupi kilichopita. Nchi yetu imepaa tena kwa taarifa za kuzuia uhuru wa vyombo vya habari. Safari hii ni habari za kuvibana vyombo vya nje ya Tanzania: