Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Kama vile JK anavyoimba uchumi umekuwa kwa 7.2% kila siku.Unajua kuna watu ambao kila kitu kinatazamwa kisiasa tu....Tanzania yapaa kiuchumi! Ni kibwagizo kizuri, tena sana ila does it make sense?