nadhan hawa majasusi wamekosea kusema 'uchumi' labda ugaidi na ukiukwaji wa demokrasia na haki za binadamu. Kibanda na Dr. Ulimboka njoo huku mniunge mkono..
Kwa uchumi wa makabrasha tutaambiwa hata niya 2 africa.nimekua nikifatilia siku zote vigezo vinavyoangaliwa na hawajamb nikirudi kuangalia uhalisia wa mambo nabaki kuguna
Ukiona hivi kuna watu wanataka kuanza kuuza risasi na mabomu!Yaani imekuwa ya 12 Afrika wakati kuna shule hadi leo hawajawahi kuona dawati zaidi ya kuliona kwenye picha?!Hebu acheni kuwatia machungu watanzania!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.