Tanzania yapaa kijeshi Duniani

napata shida kwa sababu wanajeshi kutoka Tanzania ndo wanaongoza kwa kuuwawa huko nje.. ubora wetu uko wapi..??

Si kweli,statistics znaonyesha tofaut,tungekuwa tunakufa weng tusingekuwa efficient
 
Hii sio news ya Clouds na clouds ni miongoni mwa radio pendwa sana nchini; Shida yako unapenda sana kusifia magaidi.Nenda kaungane nao kisha waambie waje waone kichapo cha mbwa mwizi na watavua hijabu husoni na watanyoa ndevu zote wale sheinzyy type
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…