NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Kwa kua MODS wamegoma kujibu basi ngoja ikae hivo hii thread...
Source yako ni clouds fm, hao wanajua umbeya na kuusifia watu , wao na masuala ya kijeshi wapi na wapi? Acheni kutii aibu jukwaa hilitofauti na wengi wanavyojua,tanzania imeanza kutajwa na mitandao mbalimbali kati ya vikosi 35 bora zaidi duniani kwa vifaa bora,mafunzo sahihi na uwezo wa kupigana kwenye mazingira yoyote,dunia imeshangazwa na ufanisi wa jwtz kongo kwani chini ya kapeti rwanda haikukubali kirahisi m23 kushindwa,na ni nchi pekee kutoka africa huku asia ikitoa nchi kadhaa,sasa tanzania inawekwa level moja na seal ya usa,special force ya israel na wakali wengine,
source clouds fm na website mbalimbali
tofauti na wengi wanavyojua,tanzania imeanza kutajwa na mitandao mbalimbali kati ya vikosi 35 bora zaidi duniani kwa vifaa bora,mafunzo sahihi na uwezo wa kupigana kwenye mazingira yoyote,dunia imeshangazwa na ufanisi wa jwtz kongo kwani chini ya kapeti rwanda haikukubali kirahisi m23 kushindwa,na ni nchi pekee kutoka africa huku asia ikitoa nchi kadhaa,sasa tanzania inawekwa level moja na seal ya usa,special force ya israel na wakali wengine,
source clouds fm na website mbalimbali
Acha kujiaibisha , kuna visite vinca onyesha kuwa boko haram ni jeshi imara kuliko la Marekani ......wamesoma taarifa kutoka kwenye source nyingine mkuu,mimi mwenyewe nmetafuta hiyo site nikasoma,tatizo nmeshindwa kuweka link,mwenye uwezo acheck google 35 elite forces in the world then aweke link hapa,mimi binafsi nashindwa
tofauti na wengi wanavyojua,tanzania imeanza kutajwa na mitandao mbalimbali kati ya vikosi 35 bora zaidi duniani kwa vifaa bora,mafunzo sahihi na uwezo wa kupigana kwenye mazingira yoyote,dunia imeshangazwa na ufanisi wa jwtz kongo kwani chini ya kapeti rwanda haikukubali kirahisi m23 kushindwa,na ni nchi pekee kutoka africa huku asia ikitoa nchi kadhaa,sasa tanzania inawekwa level moja na seal ya usa,special force ya israel na wakali wengine,
source clouds fm na website mbalimbali
sometimes tumia ubongo hata kidogo,kuna vitu naona kama sio vya uwezo wako ,unajua kuwa vilivyo bora leo jana yake viliaminishwa kuwa ni bora kabla ya wakat wake? Hujaelewa
Acha kujiaibisha , kuna visite vinca onyesha kuwa boko haram ni jeshi imara kuliko la Marekani ......
wamesoma taarifa kutoka kwenye source nyingine mkuu,mimi mwenyewe nmetafuta hiyo site nikasoma,tatizo nmeshindwa kuweka link,mwenye uwezo acheck google 35 elite forces in the world then aweke link hapa,mimi binafsi nashindwa
Hizi ni sifa za kijinga, Nchi inadaiwa trillions 30 deni la taifa...
Dawa Hospitali hakuna, hata CT SCAn katika hospitali za taifa hakuna
chakula tunaagiza nje kama mchele na ngano wakati tuna mashamba...
Ajira ni bomu, ajira 70 wanagombania graduates 10,000
Div 5 za form 4 mass failure
Kuna mengi ya kusema.....