vulcan
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,742
- 2,459
ha ha niliiwambia hapa, Kuleta matunda kutoka TZ kupeleka nchi za nje ni kibarua sana...Ngojea muwe banned kununua matunda yote Tz Tutaona hayo masoko sijui mtawauzia matumbo yenu. We all know a large part of the fruits that you claim to sale are actually resales,
isitoshe, wivu wa Magufuli hauwezi kubali jambo kama hilo..