mtanzania1989
JF-Expert Member
- May 20, 2010
- 4,064
- 6,733
Mgomo Kenya umeshaisha, plus kuna wabongo wanafanya kazi DRC, South Sudan sasa kwa nini unataka kuwatisha kwenda Kenya.Daktari mwenye akili na mwenye kuona mbali hawezi kwenda huko kuhatarisha maisha yake na kusaliti wenzake.
MSHAHARA WA DR KENYA NI MARA MBILI YA BONGO.