Tanzania yakubali kuipatia Kenya madaktari 500 kusaidia upungufu wa Madaktari

Dr changamkia fursaa
Mkuu haututakii mema, yani upo tayali kabisa kututoa ndugu zako kafara kwa Al-shababi? tena wengine wakiangalia sura zetu ni kisu tu moja kwa moja hawata kuwa na haja ya kuuliza majina au kuleta Quran ili kujua kama si waislam. (kiuhalisia kenya kiusalama ni hatari na umakini unahitajika katika vyombo vyao vya usalama hasa kwa watu muhimu kwa Taifa kama madaktari, swala la usalama si kwamakundi ya kigaidi tu ila hata wenyewe kwa wenyewe hasa kipindi hichi kenya inapoelikea kwenye uchaguzi mkuu maana kenya wasipokuwa makini katika hili wanaweza wakasababisha matatizo ya kidiplomasia baina ya nchi hizi mbili).
ila hili swala serikali haikupaswa kukurupuka najua kuna kiasi ambacho serikali huwa kina ingiza kila wanapo toa wataalamu wake kwenda kusaidia sehemu mbalimbali ila jambo hili Muheshimiwa hakupaswa kulitolea maamuzi, badala yake angeliacha chini ya wizara husika na baraza la madaktari. kwa mambo kama haya ndio tunapo ona madhala ya siasa inapo ingizwa kwenye mambo ya kitaaluma.
 
Inamaana Kenya imeajiri madaktari wote mpaka wameisha sasa wameamuwa kuja kutafuta wengine Tanzania ,ni fursa lakini inanipa wasi sana.:oops::oops::oops::oops:
 
Madaktari wangapi wa kitanzania wako nchi za nje kabla ya hawa?
Huwezi kuzuia mmoja mmoja wakipata opportunities nje ya nchi, lkn kutoa nusu ya madaktari unaozalisha kwa mwaka kwa nchi mmoja kwa mkupuo huoni kuna hatari? Daktari mmoja Tz anahudumia raia wangapi? Hujachoka kukaa kwenye foleni kusubiri kumuona dokta?
 
Huwezi kuzuia mmoja mmoja wakipata opportunities nje ya nchi, lkn kutoa nusu ya madaktari unaozalisha kwa mwaka kwa nchi mmoja kwa mkupuo huoni kuna hatari? Daktari mmoja Tz anahudumia raia wangapi? Hujachoka kukaa kwenye foleni kusubiri kumuona dokta?
Tumeshindwa kuwaajiri kwanini wabanwe?
 
Fursa ndio hii changamkeni

Msitishane Madaktari hawatakuwa wa TZ Tu.

20170319_193658.png
20170319_193719.png


Nimeona thread nyingi na watu wengi wanaonekana wanaogopa wakenya watakuwa hawatoi ushirikiano kwa madaktari wetu. Sasa hapa tunaona wenzetu wametoa statistic na mahitaji yao ni kupata nguvu ya wana taaluma hii ya Udaktari toka EA.

"I encourage people to get out of their comfort zone and realise their potential"
 
Fursa ndio hii changamkeni

Msitishane Madaktari hawatakuwa wa TZ Tu.

View attachment 483507View attachment 483508

Nimeona thread nyingi na watu wengi wanaonekana wanaogopa wakenya watakuwa hawatoi ushirikiano kwa madaktari wetu. Sasa hapa tunaona wenzetu wametoa statistic na mahitaji yao ni kupata nguvu ya wana taaluma hii ya Udaktari toka EA.

"I encourage people to get out of their comfort zone and realise their potential"
Ondoa maandiko mabovu unataka wenzio wakauawewe ,we unaona Kenya kunamgogoro wa kimaslai halafu unashauri wenzako wapeleko shingo zikakatwe. Fikiri kabla ya kutenda
 
Ondoa maandiko machafu unataka wenzio wakauawewe mijitu mingine haina akili,we unaona Kenya kunamgogoro wa kimaslai halafu unashauri wenzako wapeleko shingo zikakatwe. Mitanzania mingine sijui okoje ni kuwaza ugoro tu
Jiulize East Africa ina nchi ngapi, hawa wakenya watakata shingo za wa east africa wangapi... mkiacha kuna wengine watakuja... halafu mtabaki mkisema hakuna fursa...mbona kuna madaktari huku wa tanzania as we speak... mwenye kuona anaweza take risk aombe maana ku relocate nayo pia sio culture yetu watanzania....

Soma hapa ujue yanayoendelea:
Madaktari wamaliza mgomo nchini Kenya - BBC Swahili
 
Ktk EAC naona wabongo ndio waoga kuliko wote. Mara nyingi sana nimekutana na watu kutoka nchi nyingine za EAC waliotembelea hapa nchini kwetu na kuona kitu cha ajabu. Watanzania wanajikunyata, hata pale wanaposhambuliwa-hasa na wakenya(kwenye ardhi ya TZ) bado wanaufyata.

Dear countrymen, be venturesome. Do not be afraid of going to Kenya and conquer them professionally and socially. Acheni uoga, nenden mkapige hela. Utoto wa mama uishe. Kasake hela miaka 5, weka akiba urudi bongo uanzishe hospitali yako. Mnajifanya Kenya is a dangerous place halafu mnapeleka watoto wenu shule za Kenya. Huu ni ufala.
 
Ktk EAC naona wabongo ndio waoga kuliko wote. Mara nyingi sana nimekutana na watu kutoka nchi nyingine za EAC waliotembelea hapa nchini kwetu na kuona kitu cha ajabu. Watanzania wanajikunyata, hata pale wanaposhambuliwa-hasa na wakenya(kwenye ardhi ya TZ) bado wanaufyata.

Dear countrymen, be venturesome. Do not be afraid of going to Kenya and conquer them professionally and socially. Acheni uoga, nenden mkapige hela. Utoto wa mama uishe. Kasake hela miaka 5, weka akiba urudi bongo uanzishe hospitali yako. Mnajifanya Kenya is a dangerous place halafu mnapeleka watoto wenu shule za Kenya. Huu ni ufala.
Well said mkuu...mbona tunaishi nao na tunafanya nao kazi huku... ni kujua jinsi ya kuishi na watu tu....

Kama hofu ya TZ ni uchaguzi wa KE late this year, sio isue kwani hata mie siku ikifika nitachukua likizo nitarudi home TZ tuache wafanye yao wakimaliza tutarudi kazini...

Maisha kujipanga... yani nasikia vibaya nikiona wanaogopa..

Halafu sababu wa TZ wanawapa ideas kuwa wakija huku hawatakuwa safe nao wa KE wanazidi kujisemesha kwenye social media ili kuwaongezea hofu wa TZ wasije... akili kumkichwa... ppl must wake up
 
Back
Top Bottom